Mfaume,
Mfalume, Mfalme
Mtu
mwenye rehema,
Tabia
yake ni njema,
Moyo
wake ni mwema.
Mfaume,
Mfalume, Mfalme
Je
yeye ni mfalme?
Ni
mfalme.
Si
mfalme.
Ni
mfalme.
Si
mfalme.
Ndiyo,yeye
ni kiongozi wa wafalme.
Je,
ana mamlaka?
Ana
mamlaka.
Hana
mamlaka.
Ana
mamlaka.
Hana
mamlaka.
Ndiyo,
ana mamlaka kwa yake ufalme.
Iko
wapi yake mamlaka?
Nyoyo
zetu ni yake mamlaka,
Mahaba
yetu ni yake mamlaka,
Amali
njema ni yake mamlaka,
sera
bora ni
yake mamlaka.
Mfaume,
mfalume, mfalme.
Bwana
mfaume ni wetu mfalme.
Kwa
heri bwana mfaume,
Iwe
na sahaba ya mtume,
Iwe
na ridha ya mfalme,
Mwenyezi
Mungu mfalme wa wafalme.
Kwa
heri bwana mfaume,
Kwa
heri mfaume, mfalume, mfalme
0 التعليقات:
إرسال تعليق